Waziri wa Fedha,Mh. Mustafa Mkulo akipata maelezo kutoka kwa afisa wa Kampuni ya uchapishaji wa magazeti ya Daily News , Sunday News na Habarileo wakati alipotembelea banda hilo ndani ya viwanja vya maonyesho ya 35 ya biashara ya kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es salaam.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO- Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...