Waheshimiwa wakionyesha umahiri wao kwenye densing  floo.
 Afisa Mkuu wa Kiufundi Zantel Moncef Mettiji akimkabidhi modems Naibu Spika Mhe. Joe Ndungai zilizotolewa na Zantel kwa ajili ya ofisi za bunge za Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar
  Wacheza shoo wa bendi ya Extra Bongo wakiwatumbuiza waheshimiwa
 Afisa Mkuu wa Kiufundi Zantel Moncef Mettiji akitoa hotuba yake kwa niaba ya Afisa Mkuu Mtendaji wakati wa ‘Usiku wa Zantel’ hafla iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge ya wabunge Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...