Balozi wetu nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe akisalimiana na Mbunge wa Singida mjini Mh. Mohamed Dewji wakisalimiana walipogongana leo hoteli ya Movenpick jijini Dar es salaam. Balozi Kallaghe yuko katika likizo wakati Mh. Mo anelekea jimboni kwake kwa shughuli za maendeleo. Kulia ni Meneja wa Serikali na Maswala ya Umma wa kampuni ya BG group, Bw. Fred Kibodya.
Home
Unlabelled
balozi peter kallaghe akutana na mbunge wa singida mjini mo dewji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...