Home
Unlabelled
CCM YATANGAZA MGOMBEA WAKE IGUNGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa nini mhangaike kufika kote wakati ninyi ni chama tawala tokea uhuru, si wananchi wanatakiwa tu kuwapigia kura bila ya nyinyi kusumbuka namna hiyo kutokana na ukomavu wenu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo? Mambo si yanaonekana wazi wazi jamani, au? Mnatakiwa mtulie tu muwaache wapinzani wahangaike kujitambulisha maana wao ni wageni na wachanga, ila nyinyi CCM mnajulikana tayari, tena tokea kitambo kweli kweli. Vuneni mlichopanda, tulizeni boli.
ReplyDeleteWe mdau wa kwanza umeniacha hoi, sijui nikufikirie vipi. Kwa mpangilio wa sentensi zako za mwanzo utafikiri unawasanifu CCM (i thought you were being sarcastic, and frankly, it would have been really funny and also quite clever), lakini duh kumbe mwenzangu upo serious. Kweli kazi tunayo. Mungu ibariki Tanzania.
ReplyDeleteHATUDANGANYIKI.
ReplyDeleteMMESHINDWA KUONGOZA NCHI.
Yaani mimi nikiona rangi za kijani basi nakosa raha kabisa na presha inapanda kwa hasira.. hivi sasa nina mpango hata wa kutokula mboga za majani zenye asili ya ukijani.
ReplyDelete