Vuvuzela Entertainment & Sweet Eazy Oysterbay invite you to a night of Stand Up Comedy made in Tanzania.

Don't miss Evans Bukuku, Tanzania's funniest man, & his guests.

Tuesday, 2 August, 2011, from 8:30 pm. Entrance 10'000/=.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. ni wazo zuri sana bwana bukuku lakini mbona unaifanyia mbali sana kwani unataka watu wenye maisha ya kawaida wasihudhurie hivo vichekesho vyako,maana yangu ni kwanini usiweke venue ambayo hata mtu wa mbagala,ukonga,mbezi ya tangibovu,mbezi louis na kwingineko wanaweza kuhudhuria??kwanini usiweke venue ya katiikati ya mji ambapo hata mtu akipanda basi anaweza kufika na kurudi kwake kiraisi??ama target yako ni watu wa oysterbay na masaki,pia kwanini usifanye bei ya chini ambapo hata vijana,wanafunzi na watu wa income ya kawaida wanweza kuattend..bro kuwa business oriented acha kuwa social bias,emanuel

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...