URBAN PULSE CREATIVE ikishirikiana na True Talk Records Company inapenda kuwaletea program mpya ya tv inayoitwa Friday Night Freestyle special. Hii ni Reality Programme yenye mchanganyiko wa ucheshi, ubunifu wa kushika Mic mtaani mbele ya kamera na kuonesha vipaji kutoka kwa wasanii waliopo hapa UK. Programme hii itarushwa kwenye TV Hapa UK na baadhi ya Nchi jirani za Ulaya. Vilevile kutakuwepo na zawadi mbalimbali kwa washindi na recording deal mwishoni mwa series.

Asanteni

URBAN PULSE CREATIVE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mmemuiga FID Q na Friday Show yake kwenye CHEUSI DAWA TV...

    ReplyDelete
  2. Wazo zuri lakini hata kubadilisha siku ya hiyo show mmeshindwa? Ila kina Kala Pina na Cheusi TIIII VIIII wanapatikana hapa www.youtube.com/cheusidawa

    ReplyDelete
  3. Mmoja nilifikiri Sol Cambell. Jitahidi zaidi, hiyo microphone mbona ina cable refu kama hilo utafikiri uko bongo bwana!

    ReplyDelete
  4. nawaunga mkono hao wachangiaji wawili wa hapo juu, hawa jamaa wanajaribu kuiba idea ya Fid Q.. ndo maana waafrika hatuendelei, ubunifu zero kabisa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...