Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Issa Machibya,( mwenye suti)  akifurahiwa  mara baada ya Dk Mary Rose  Giattas ambaye ni Mratibu wa Programu ya Kukinga na Kuzuia Saratani ya Mlango wa Kizazi kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la  JHPIEGO,  wakati wa kukabidhiwa kifaa cha kutibu Mabadiliko ya Awali ya Saratani ya Mlango wa Kizazi na vitu vingine kwa Uongozi wa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro juzi ,ambavyo thamani yake ni  Shilingi Milioni kumi
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Issa Machibya,( mwenye suti)  akiwa na Mwakilishi Shirika lisilo la Kiserikali la  JHPIEGO pamoja na Viongozi waandamizi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, mara baaada ya Shirika hilo kukabidhi kifaa cha kutibu Mabadiliko ya Awali ya Saratani ya Mlango wa Kizazi kwa Hospitali hiyo.
Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii, Morogoro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...