Home
Unlabelled
kikosi kazi kilichosaidia kutokomeza maralia visiwani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
yale yale ya LELI leo MARALIA. HUYU ALIYEANDIKA HIVI NI MZANZIBAR KWELI. ROSE ANAITWA LOSE. MWALIMU WANGU WA COMPUTER ALIKUWA ANASEMA NENO RINK SASA KWENDA KUANGALIA DICTIONARY SIKULIPATA IKABIDI NIMUULIZE, AH WACHA NICHEKE. JAMANI JIFUNDISHENI KISWAHILI KISWAHILI SIO MNACHANGA NA KILUGAAAAAA!!!!!!
ReplyDeleteNASHAURI KIKOSI KAZI HICHO KIHAMIE DAR,KWANI DAR KWASASA MBU NI WENGI KULIKO IDADI YA WATU.
ReplyDeleteJamani haifai kudanganya kwa manufaa ya nani? Ni kweli Zanzibar malaria imepungua lakini siyo kutokomeza kabisa.
ReplyDeleteEti ukenda ukipima unaambiwa huna malaria lakini ukenda tena kimya kimya watakwambia ni kweli unayo lakini tumeambiwa tusiseme. Halafu wanakupa dawa kwa siri.
Hii imetokea kwa husband na mtoto wangu kwa hivyo siyo kwamba nazusha tu.
Tuseme ukweli ili tuweze kuwa na rekodi sahihi.
mie naudhika na hao wanaoharibu lugha yetu!eti bila AIBU, MARALIA
ReplyDelete