Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiongea na Waziri Mkuu mstaafu Mh Edward Lowassa bungeni Dodoma leo
 Waziri wa Katiba na Sheria Mh Celine Kombani akipingezwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa Mh Francis Mutungi mara baada ya bajeti ya wizara hiyo kupitishwa mchana huu
 Mh Celine Kombani akiwa na Katibu Mkuu wizara yake, Mh Mhaiki (wa pili shoto), CEO  RITA Bw. Philip Saliboko (shoto) na maafisa wengine waandamizi wa wizara hiyo. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mh. Cynthia-Hilda Ngoiye
 Ankal akiwa na Mbunge wa Kawe Mh Halima Mdee, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dk David Mathayo na mdau bungeni Dodoma
Mwenyekiti wa Bunge Mh. George Simbachawene  akiwa na Msajili wa Mahakama ya Rufaa Mh Francis Mutungi bungeni leo
Mbunge wa Simanjiro Mh Christopher ole Sendeka na mbunge wa Nzega Dk Hamisi Kigwangwala leo
n
 Mbunge wa Musoma mjini Mh Vicent Nyerere akipozia na Ankal na mdau wa Cessena, Italy, Baraka wa Chibiriti ambaye naye yuko ndani ya nyumba
Wabunge wa Kizazi kipya. toka shoto ni Mh Selemani Jumanne Zedi (Bukene-CCM), Dr Hamisi Kigwangwala (Nzega-CCM), Mh, Joseph Mbilinyi Sugu (Mbeya mjini-CHADEMA), Hamad Yusuf Masauni (Kikwajuni-CCM), Mh Abbas Mtemvu )Temeke-CCM na Dk Faustine Ndugulile (Kigamboni-CCM)



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu Maswali Bungeni, katika kipindi cha maswali na majibu kwa Waziri Mkuu leo Augost 25, 2011. kila siku ya Alhamisi ya wiki waziri mkuu huulizwa maswali ya ana kwa ana na wa wabunge. Mojawapo ya maswali aliyojibu leo ni kuhusu Rais kuelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini David Jairo kundelea na likizo kupisha uchunguzi dhidi yake.
Mbunge wa Viti Maalum, Dianna Chilolo akimuuliza swali Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika kipindi cha maswali Bungeni.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Watoto wa Mbunge wa Viti Maalum, Angellah Kairuki, Ester (kushoto) na Kemilembe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Kamishina wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR, Bw. T. Alexander Aleinikoff, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Kibakwe , George Simbachawene kwenye viwanja vya BungeMjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Viwanda na Biashara,Dr. Cyril Chami kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watendaji waSerikali za Vijiji na Viongozi wa CCM wa jimbo la Magu kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo. Kushoto ni Mbunge wao, Dr . Dr Festus Limbu.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Ankal please hebu tuwekee picha ya mbunge mdogo kuliko wote hapo mjengoni MUNTAZA MANGUNGU kutoka Kilwa mwambie Kaka yako James Biboze anataka akuone ukiwa mjengoni
    Wako
    James

    ReplyDelete
  2. Mh Mbilinyi umependeza lakini usiache mazoezi maana naona umeongezeka uzito tangu nikuone mara ya mwisho Januari mwaka huu.

    ReplyDelete
  3. Ankal, huu ni mwezi wa toba, sasa iweje wao umemshika kiuno mheshimiwa? Ha ha ha ....

    ReplyDelete
  4. Ankel mikonos naona inaendelea.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...