Mshambuliaji wa timu ya shule ya sekondari ya Katenge iliyopo mkoani Njombe, Majura Mlola akijaribu kuupiga mpira katikati ya mchezaji wa timu ya shule ya Wanging'ombe katika mchezo wa kirafiki uliochezwa shuleni hapo. Katenge ilishinda bao 2-0
 Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Katenge iliyopo mkoani njombe wakishangilia ushindi wa timu yao mara baada ya kuinyuka mabao 2-0 timu ya shule ya sekondari ya Wanging'ombe,mchezo uliopigwa  katika uwanja wa shule ya wanging'ombe mkoani Njombe

Wadau kutoka mkoani Arusha, Danford Mpumilwa(shoto) na Evance Mkonyi wakishuhudia mechi baina ya timu za shule za sekondari za Wanging'ombe na Katenge  katika uwanja wa shule ya wanging"ombe. Wadau wako vekesheni Njombe. Picha na Mosses Mashalla

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...