Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Kabwe(katikati) akijaza fomu jana ya kiunga na Mfumo wa  kuwekeza Amana wa Mfuko wa Pensheni (PPF) katika kilele cha maonyesho ya wakulima nanenane mjini Dodoma wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha.
 Mh Zitto Kabwe akipata maelezo ya PPF
 Mh Zitto Kabwe akitoa nasaha baada ya kujiunga na PPF
Mh Zitto Kabwe akikabidhiwa zawadi ya mwamvuli
Katika picha ya pamoja na wafanyakazi katika banda la PPF

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. mh. ZITTO kanzu imekupendeza sana, kweli uislamu raha

    ReplyDelete
  2. Kumbe uislamu ni kanzu! We mtoa maoni wa Tue Aug 09,02:52 PM, acha kuudhalilisha uislamu.

    ReplyDelete
  3. Mdau Anonymous wa Aug09, 02:53:pm
    Kwa kukufahamisha tu kanzu si Uislamu bali kanzu ni vazi la kiarabu. Uislamu ni imani kuamini kitabu chake (Quran) Shahda na kufuata matendo na sunna cha mtume Muhamad S.A.W (amani iwe juu yake). ukitaka kujua nenda Lebanon, Syria na Egypt nchi za kiarabu ambazo kuna idadi kubwa ya wakristo na wanavaa kanzu 24/7. jirani tu na bongo Uganda vazi la kitaifa kwa wanaume ni kanzu na koti. unaweza ukavaa suti pande tatu, over roll (bwela suti) na hata gunia na iwapo ukiwa na imani safi basi wewe ni muislamu. kanzu ni vazi la middle east na lilivaliwa au linavaliwa karne na karne kwa kutokana na hali ya joto. please usiudhalilishe Uislamu kwa mgongo wa kanzu,baibui,kilemba au kofia . Uislamu ni Iman.
    mdau Maalim mnuso UK.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...