Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Issa Machibya, ( kushoto) akimkabidhi funguo ya Pikipiki mpya aina ya Yamaha ,yenye thamani ya sh: milioni saba , Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Adolfina Chialo, kwa ajili ya kuimalisha ulinzi wa doria katika barabara kuu ya Mikumi- Kilombero eneo la daraja tano.Picha na John Nditi.
Home
Unlabelled
mkuu wa mkoa wa morogoro akabidhi pikipiki kwa jeshi la polisi mkoani humo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
sasa wewe ras makunja na kofia nyekundu,unadhani utapewa hiyo piki piki uende nayo nyumbani? wakati mwingine ras makunja uwe mstaraabu
ReplyDelete