Habari za leo Ankal Michuzi,

naomba unisaidi kunitangazia nimepotelewa na bahasha iliyokuwa na vyeti ndani ya daladala ya mwenge kwenda k'koo kupitia barabara ya sinza ndani kulikuwa na vyeti hivi leaving certificate ya form four na form six,cheti cha ukwata o'level na A' level, result slip,certificate of secondary education ya O'level,cheti cha kuzaliwa,na cheti cha computer, vyeti yote hivyo vinasomeka kwa jina la VENANCE LUSINDE...na kulikuwa na DVD ya sendoff iliyo andikwa Mariamu.vimepotea tar 24/8
kwa yoyote atakayepata nomba awasiliane nami kwa namba hizi
0787 514920
0655 514920
0659 437711
0716 072324

ahsante kwa ushirikiano wako .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...