Kikosi kazi cha Ngoma Africa band aka FFU kinatarajiwa kuwadatisha
akili washabiki katika onyesho la Afrika Festival,mjini Tuttlingen,huko
Ujerumani ya kusini,Kamanda Ras Makunja atakiongoza kikosi chake
jukwaani siku ya jumamosi 27.08.2011 na kuhakikisha kuwa kikosi hiko
kinatoa burani kamili kwa washabiki.wasikilize zaidi at www.ngoma-africa.com
tafadhali usisahau ku log in at www.ngoma-africa.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. kamanda ras makunja na nduguzo ngoma afrika aka ffu au watoto wa mbwa,vichaa wetu mtarudi lini Finland? kwa kweli kazi yenu inakubalika na wengi jaribuni kila hali mje tena

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...