Makamu wa Rais wa Shirikisho la Basketball nchini (TBF)  Phares Magesa (shoto)  akipokea hati ya makubaliano ya msaada wa takribani US $ 15,000.00 kutoka kwa James Yates, Afisa wa Ubalozi wa Marekani, Dar Es Salaam. Fedha hizo ni sehemu ya msaada wa kudhamini mafunzo ya mpira wa kikapu yatakayondeshwa na nyota wa NBA na WNBA toka USA kuanzia tarehe 6-8 September, 2011 katika viwanja vya Don Bosco, Dar Es Salaam. 

TBF inawashukuru watu wa Marekani kwa msaada huo mkubwa na inaomba wadau na wafadhili wengine wajitokeze kusaidia gharama za uendeshaji wa clinic hiyo itakayojumuisha vijana 100 chini ya miaka 16 kutoka mikoa 15 ya Tanzania bara na Visiwani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hii ndio inatakiwa sio kila siku mashindano tu kisa hela za tbl.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...