Usafiri wa Bajaji umezidi kupendwa na wakaazi wa jiji la Dar es salaam kutokana na mambo kadhaa ikiwemo kubwia wese kwa kiasi, uwezo wa kukwepa foleni na kubeba abiria zaidi ya mmoja na mizigo. Hapa ni Mikocheni Tanesco jijini Dar Alhamisi mchana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...