Mchezaji wa timu ya Yanga, Tala ( kushoto ) akichuana na beki wa Moro United, Jaffar Gonga.
 Mshambuliaji wa timu ya Yanga, HAMIS KIIZA ( kulia) akijaribu kumtoka beki wa Moro United, Eric Mwala, katika mchezo wao wa ligi kuu uliochezwa jana kweye uwanja wa jamhuri wa Mjini Morogoro.
Mshambuliaji wa timu ya Yanga , Godfrey  Taita ( kati kati ) akijaribu kuwatoka mabeki wa Moro United. Katika mchezo huo, timu hizo zilitoka sare ya kufungana bao 1-1.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kikwete kwa nini usijenge huu uwanja wa Jamhuri Morogoro uwe kama ule wa Taifa Dar?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...