Ankal akiwa na rafiki yake wa miaka mingi Yvone Chaka Chaka walipogongana jijini New York ambako wote wanahudhuria mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa. Chaka Chaka ni Balozi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa wa malaria ya Roll Back Malaria na hivi sasa amejikita pia katika harakati za kumkomboa mwanamke katika majanga ya magonjwa na unyanyasaji wa kijinsia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. konozzzz

    Mdau J

    ReplyDelete
  2. Ankal bado kidogo uweke konos halafu ukashtuka , pole sana

    ReplyDelete
  3. EH!ANKAL ...RAFIKI YAKO WA MIAKA MINGI?!!!

    ReplyDelete
  4. chonde chonde ankalllllllll

    ReplyDelete
  5. Ankal naona anataka kupiga konozzzzzzzzzzzz,lakini anaanza kwa mbaaaaaali.Yaani anatest zali.

    Mkulima-Kijijini Gezaulole.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...