Baada ya kumeremeta maharusi wanachagua kupiga picha katika eneo maarufu la Times Square jijini New York ambalo ni maarufu kwa maduka makubwa, kumbi za starehe na mikutano na pia biashara za kimachinga
 Kaeni vizuri kidogo....
 Hamna  noma wala nini
Hapa tumemaliza na saa ya mnuso bado....twende wapi sasa?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal unatunyanyasa, Mmhh, na mimi ngoja nifuate nyayo zako ili nipate hz trip

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...