Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania,Sabasaba Moshingi akizungumza kwa msisitizo usiku huu wakati Benki hiyo ilipoandaa hafla fupi ya chakula cha jioni kwa ajili ya Wahariri wa Vyombo mbali mbali vya Habari hapa nchini,iliyofanyika katika Hotel JB Belmont,Benjamini Mkapa Tower jijini Dar usiku huu.
 Meneja Uhusiano wa Benki ya Posta Tanzania,Noves Moses akitoa muongozo wa hafla hiyo iliyofanyika usiku huu katika hoteli ya JB Belmont,Benjamin Mkapa Tower,jijini Dar.
 Bosi wa Radio One,Deogratius Rweyunga akizungumza na kutoa shukrani kwa Wadau wa Benki ya Posta Tanzania ambao wameandaa hafla fupi ya chakula cha jioni kwa ajili ya Wahariri wa Vyombo mbali mbali vya Habari hapa nchini.
 Mtangazaji wa Star TV,Barhan Muhuza nae akizungumza katika hafla hiyo.
Baadhi ya Mabosi wa Benki ya Posta Tanzania wakiwa katika hafla hiyo ya chakula cha jioni.
 Baadhi ya Wahariri wa Vyombo Mbali mbali vya Habari wakiwa katika hafla hiyo ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki ya Posta Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Naona wadau wamekaa mkao wa kula lakini chakula hakuna.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...