Rais wa Zanzibar, Dr. Ali Mohamed Shein akizungumza na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye makazi yake Gombani Zanzibar Septemba 12,  2011. Mheshimiwa Pinda alikwenda kumpa pole kuafuatia ajali ya meli iliyozama na kusababisha vifo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Seif Idd (kushoto) Mjini  Zanzibar, Septemba 12,  2011. Mheshimiwa Pinda alikwenda kumpa pole kuafuatia ajali ya meli iliyozama na kusababisha vifo (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. HEADING SIO SAHIHI,NI MH PINDA AKUTANA NA DR.SHEIN KWA KUWA DR.SHEIN NI MWENYE MAKAZ NI SAWA NA MATHAYO 9.9 NAYE YESU ALIPOKUA AKIPITA FORODHANI ALIMUONA MTU AMEKETI FORODHANI AITWAYE MATAYO,NA SIO MATHAYO ALIMUONA YESU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...