Ubalozi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, ulifungua kitambu cha rambirambi kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV Spice Islander. Mabalozi wengi wanaoziwakilisha nchi zao katika Umoja wa Mataifa, wameungana na watanzania katika kipindi hiki cha majonzi kwa kusaini kitabu cha maombolezo. Zifuatano ni baadhi tu ya picha za tukio hilo.
 Mhe.  Paulette Bethel Balozi wa Bahamas Katika Umoja wa Mataifa.
 Bw. Mazen Adi,Mwakilishi kutoka Ubalozi wa Syria Umoja wa Mataifa
 Bw. Hajji Khamisi, Mwenyekiti wa Jumuia ya Watanzania New York
 Mhe. Sophia . Nyamudeza, Naibu Balozi, Ubalozi wa  Zimbabwe Umoja wa Mataifa
Mhe. Josephine Ojiambo, Naibu Balozi wa Kenya Umoja wa Mataifa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...