Hayati Joycelyn Mkamsuri Archibald Marealle   

Mama yetu Joycelyn Mkamsuri Archibald Marealle   leo hatuamini kama ni mwaka mmoja umepita tangu ulipotuacha siku ile ya alhamisi  saa mbili na nusu asubuhi  tarehe 2/9/2010. Mama siku ya leo inaleta kumbukumbu zisizoelezeka na zisizostahimilika.

Mama ni vigumu kukubali kuwa haupo nasi ila hatuna budi kumshukuru mungu kwani alikupenda zaidi. Mama umetuacha mapema tukiwa bado tunakuhitaji kwani wewe ulikuwa ndiyo nguzo na mhimili wa maisha yetu.

Unakumbukwa sana na watoto wako Emily na Leonard. Mkwe wako Carolyne, wajukuu zako Vanessa, joycelyn na Eva. Pia  Kaka na dada zako pamoja na ndugu zako ukoo  wa kina Sawaya Mawalla na  ukoo wa Marealle. Marafiki zako wote, na majirani zako wa drive inn estate.

Tunamuomba mwenyezi mungu ailze
 roho yako mahali pema peponi, 
Amina.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...