Mwenyekiti wa Mbio za Mbuzi, Karen Stanley (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika Septemba 24 mwaka huu. Kulia ni Meneja Chapa na Matangazo wa NBC, Arden Kitomari ambaye benki yao ni mmoja wa wadhamini wa mbio hizo.
Meneja Chapa na Matangazo wa NBC, Arden Kitomari (kulia)akizungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam kuhusu udhamini wa benki hiyo iliyotoa shs milioni 12 kudhamini mashindano ya mbio za mbuzi zinazotarajiwa kufanyika Septemba 24 mwaka huu. Kutoka kushoto ni Mwandaaji wa mbio hizo Vanessa Morgan na Mwenyekiti wa Kamati ya Mbio za Mbuzi, Karen Stanley.
Meneja wa Shirika la Ndege la Uingereza (BA) nchini, Saada Juma(kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu ushiriki wao katika mashindano ya mbio za mbuzi yanayozotarajiwa kufanyika Septemba 24 mwaka huu. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mbio za Mbuzi, Karen Stanley na Meneja Chapa na Matangazo wa NBC, Arden Kitomari ambaye benki yao imetoa shs milioni 12 kudhamini mashindano hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...