Juma Nature, akionesha vitu vyake wakati wa pambano la ngumi kati ya Francis Cheka na Mada Maugo, Septemba 2, mwaka huu
 KR akionesha vitu vyao wakati wa mpambano la ngumi kati ya Francis Cheka na Mada Maugo
 Mwanamasumbwi wa kike , Asha Abubakari ‘ a.ka Asha ngedere’  ( kulia) wa kutoka Jijini Dar es Salaam, akimsurubu bondia mwenzake  Hamisa Wile  kutoka Mkoa wa Morogoro, katika mchezo wa kirafiki wa utangulizi kabla ya pambano dhidi ya Francis Cheka ( SMG) na Mada Maugo,juzi mjini hapa.hata hivyo Kionga alishinda mchezo huo
 Mwanamasumbwi wa kike , Asha Abubakari ‘ a.ka Asha ngedere’  ( kulia) wa Dar es Salaam, akimsurubu bondia mwenzake  Hamisa Wile  kutoka  Morogoro, katika mchezo wa kirafiki wa utangulizi kabla ya pambano dhidi ya Francis Cheka ( SMG) na Mada Maugo, mjini Morogoro.  Kionga alishinda mchezo huo
 Bondia Francis Cheka (SMG) ( kulia) akirusha konde mpinzani wake , Mada Maugo , ( kushoto) wakati wa  pambano lao la kirafiki  la raudi 10 ilililofanyika juzi kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini Morogoro, katika mchezo huo , Cheka alishinda kwa pointi.

 Bondia  Mada Maugo, akianguka chini baada ya kusukumizwa konde na Francis Cheka ( SMG) wakati wa pambano kali la kirafiki la raudi 10 ilililofanyika juzi kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini Morogoro, katika mchezo huo , Cheka alishinda kwa pointi.
 Mpambano ukiendelea

Mwamuzi wa Ernest Kavishe, akiwamua mabondia , Francis Cheka ( kushoto) na Mada Maugo ( kulia) katika pambano lao la kirafiki  la raudi 10 ilililofanyika juzi kwenye uwanja wa Jamhuri wa Mjini Morogoro, katika mchezo huo , Cheka alishinda kwa pointi. Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii, Morogoro


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jamani mbona huo ulingo wa box ume expire hivyo ?
    mdau china

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...