Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua jengo la Bweni  la wanafunzi walemavu katika shule ya Msingi ya Mwisenge Mjini Musoma  akiwa katika ziara ya mkoa wa Mara Septemba 17,2011.Kulia ni Mkuu wa wilaya ya Musoma Mjini Geofrey Ngatuni.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanafunzi walemavu baada ya kufungua bweni lao kwenye shule ya Msingi ya MWisenge Mjini Musoma 
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akikagua daftari la mahudhurio katika kipindi ambapo Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alipokuwa akisoma. Mheshimiwa Pinda alikuwa katika darasa alilosoma Mwalimu Nyerere kwenye shule ya Msingi ya Mwisenge baada ya kufungua bweni la wanafunzi walemavu kwenye shule hiyo Septemba  17,2011.Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Musoma Mjini, Geofrey Ngatuni
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wanafunzi walemavu   shule ya Msingi ya Mwisenge Mjini Musoma 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akitazama baadhi ya khanga na vitenge vinavyotengenezwa katika kiwanda cha nguo cha Musoma MUTEX wakati alipotembelea kiwanda hicho Septemba 17,2011. Kushoto ni Mkurugwnzi wa kiwanda hicho, Gulam Dewji. Picha na mdau Hilary Bujiku wa PMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...