As salaam A leykum

Tunapenda kutoa salam zetu za pole kwa ndugu zetu waliopo nyumbani Tanzania kwa kupotelewa /kufiwa/kujeruhiwa familia zao kwa ajali kubwa ya kuzama kwa meli ilosababishwa kwa kuzama kivuko cha Islander.

tunapenda kujinga na wenzetu huko nyumbani ktk msiba huu na kumwomba M/Mungu azipokee dua zetu na awaepushe na adhabu ya kaburi na moto wote waliotangulia mbele za haki kwani sote tu njia moja.

Inna lillah Wainna illah Raj'un

R.Simba(M/KITI UWTCCM-MOSCOW)

Kwa niaba ya Umoja wa wanawake ccm-Moscow

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...