Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscer Shelukindo (kushoto) akiongea na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) asubuhi hii wakati wa kutangaza udhamini wa sh. milioni 20 kwa mashindano ya mchezo wa vishale (Darts) ambao unataraji kuanza kuchezwa Septemba 23-25,2011 katika ukumbi wa Riddoch uliopo mkoani Tanga.Kulia ni Mwenyekiti wa Mchezo wa Vishale (Darts) Tanzania,Gesase Waigama.
Mwenyekiti wa Mchezo wa Vishale (Darts) Tanzania,Gesase Waigama (kulia) akizungumza na  Waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati akitoa shukrani zake kwa kampuni ya Bia Tanzania kupitia kinywaji chake cha Safari Lager ambao ndio wadhamini wa mashindano hayo ya Vishale (Darts) hapa nchini.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscer Shelukindo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...