Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman (aliokaa katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wadau mbalimbali wakiwemo Majaji, Mahakimu, Mawakili na wadau wengineo katika semina ya kujadili ripoti ya mwisho ya mfumo mbadala wa utatuzi wa migogoro (Alternative Dispute Resolution) (ADR) aliofanyika jijini Dar es Salaam jana. (Picha na MARY GWERA, MAHAKAMA YA TANZANIA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. safi sana Altenative Dispute Resolutionsafi sana Altenative Dispute Resolution

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...