Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akimwombea kura mgobea ubunge wa jimbo la Igunga kwa tiketi ya Chama,  Dk. Dalaly Kafumu, katika mkutano wa kamepni za CCM kumnadi mgombea wake katika Kata ya  Itumba, kijiji cha Itumba alikozaliwa mgombea huyo wa CCM.
 Mukama  akizungunza na wazee na vijana wa Kitaturu katika moja ya mikutano ya kampeni za CCM katika kijiji cha Chagana, Kata ya Itumba jimboni humo, jana.
 TUTAMCHAGUA DK. KAFUMU- wazee na vijana wa Kitatulu katika kijiji cha Chagana wakiinua  mikono kumwahidi hivyo Muka
 Wazee,  Jumanne Abdallah (88) na Paul Kashinde (82)   wa Kijiji cha Ngazi Kata ya Itumba wakionyeshana picha ya mgombea wa CCM Dk. Kafumu wakati wakisubiri kwasili mgom,bea huyo kuhutubia mkutano wa kampeni katika eneo hilo, jana.
 Vijana wa Itumba wakiwa na  picha ya Dk. Kafumu wakati wakiingia kwenye mkutano uliofanyika katika kata hiyo.
 Mratibu wa Kampeni za CCM, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba akionyesha kadi ya CHADEMA baada ya kukabidhiwa na Geofrey Kahindye (kulia) aliyehamia CCM katika mkutano wa Kampeni , Itumba.
Watu wakiwa wamefurika katika mkutano ya kampeni uliofanyika Itumba kijijini kwa Dk. Kafumu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Yessss!!!!! Safi sana sana. WanaIgunga huu ndio wakati wa kuwagaragaza bila huruma wale wapenda fujo wenye kuwavua hijabu wanawake wa Kiislamu kwa nguvu. Mungu ibariki Tanzania na CCM. Amin. Igunga ni CCM na CCM ni Igunga.

    ReplyDelete
  2. HUYO MMOJA ALIYERUDISHA KADI SII ZUZUTU ASIYEJUMA NINI MAANA YA CHAMA. ONA HAO WAFUASI WA C.. WALIVYOCHOKA!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...