Waziri wa Katiba na Sheria,Mhe.Celina Kombani (kushoto) akijadili jambo na Jaji Kiongozi wa Mahakama kuu, Mhe. Fakih Jundu alipomtembelea ofisini kwake leo, anaeshuhudia maongezi hayo (katikati) ni Jaji Mfawidhi, Mahakama Kuu,Kanda ya Dar es Salaam,Mhe. Semistokes Kaijage (Picha na Mary Gwera, Mahakama kuu ya Tanzania).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...