Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Kanisa la Anglican nchini, Askofu Mokiwa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga jana akielekea Korogwe ambako leo atakuwa mgeni rasmi kwenye ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Mteule Maimbo Mdolwa wa Dayosisi ya Tanga.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
waziri mkuu mgeni rasmi kwenye ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Mteule Maimbo Mdolwa,mkoani tanga
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kaka michuzi hivi serikali za wenzetu hazisamini dini au vipi?sijawahi kuona Waziri mkuu wa UK au Obama au hata nchi ya kidini kama Norway ikiwa kama hawa watawala wetu mala hivi mala wafuturisha kwavile wameshajuwa mswahili ukimtaka utampata kwene chakula basi kufuturisha kila kukicha (Qweman)
ReplyDelete