Bi Ramla Hamisi, Afisa Mambo ya Nje, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akipeana mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Ban Ki Moon. Bi Ramla alikutana na Ban Ki Moon Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, New York, hivi karibuni wakati yeye na Maafisa wengine kutoka nchi 25 walipokuwa katika mafunzo ya miezi miwili kuhusu "Upokonyaji wa Silaha"
Afisa Mambo ya Nje, Bi Ramla Hamisi wa sita kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na maafisa wenzake kutoka nchi 25 pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Ban Ki Moon, mara baada ya kumaliza mafunzo yao ya miezi miwili kuhusu Upokonyaji wa Silaha. Kama sehemu ya Mafunzo yao, maafisa hao walitembelea Japan, Geneva, China, Uholanzi, Austria na Marekani. Maafisa hao walitoka Tanzania, Kenya, Togo, Afrika ya Kusini, Ujeruman, Marekani, Beralus, Chile, Estoni, Spain, Russia, Iraq, Japan, China, Serbia, Uzbekistan, Honduras , Chile, Dominica, Mexico, Cape Verde Egypy, Malaysia, Switzerland na Kazakhstan.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Memorable moment madams.....proud of you. Keep this until i get back for further discussions.....with love from San Gwann

    ReplyDelete
  2. Congrats Ramlita..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...