Bi Ramla Hamisi, Afisa Mambo ya Nje, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akipeana mkono na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Ban Ki Moon. Bi Ramla alikutana na Ban Ki Moon Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, New York, hivi karibuni wakati yeye na Maafisa wengine kutoka nchi 25 walipokuwa katika mafunzo ya miezi miwili kuhusu "Upokonyaji wa Silaha"
Afisa Mambo ya Nje, Bi Ramla Hamisi wa sita kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na maafisa wenzake kutoka nchi 25 pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Ban Ki Moon, mara baada ya kumaliza mafunzo yao ya miezi miwili kuhusu Upokonyaji wa Silaha. Kama sehemu ya Mafunzo yao, maafisa hao walitembelea Japan, Geneva, China, Uholanzi, Austria na Marekani. Maafisa hao walitoka Tanzania, Kenya, Togo, Afrika ya Kusini, Ujeruman, Marekani, Beralus, Chile, Estoni, Spain, Russia, Iraq, Japan, China, Serbia, Uzbekistan, Honduras , Chile, Dominica, Mexico, Cape Verde Egypy, Malaysia, Switzerland na Kazakhstan.
Memorable moment madams.....proud of you. Keep this until i get back for further discussions.....with love from San Gwann
ReplyDeleteCongrats Ramlita..
ReplyDelete