Mdau Saleh Jaber (katikati) akiwa kazini kwake London akipeperusha bendera ya Tanzania katika siku maalum katika mwezi huu wa Black History Month. Saleh na wenzake wamechagua mwezi huu kukuza mfuko wa msaada kwa kusaidia Somalia Crisis Appeal na Anti-Slavery Charity uliyotayarishwa kazini kwao na kusimamiwa na mfanyakazi mwenzake Lyndon Haynes (kulia) ambaye ni mtunzi wa kitabu chaThis Functional Family ambacho kinapatikana Amazon, kulia kwa Saleh ni mfanyakazi mwenzake dada Bassey Henshaw.
Home
Unlabelled
Black History Month - London
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...