Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Sheria na Utawala Mhe. Pindi Chana akiongoza kikao cha kamati hiyo wakati ilipokutana Dar es Salaam leo kujadili Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Mwaka 2011.
 Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria, Katiba na Utawala Mhe. Tundu Lisu akichangia leo wakati kamati hiyo ilipokutana Dar es Salaam kujadili Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya Mwaka 2011.
 Mhe. Ole Konnay, Mjumbe wa Kamati ya Sheria, Katiba na Utawala akitoa ushauri wake wakati wa majadala.
 Mjumbe wa Kamati ya Sheria, Katiba Utawala Mhe. Andrew Chenge akitoa angalizo na ushauri wa kitaalamu wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011
 Wajumbe wa Kamati

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria, Katiba na Utawala ikiwa imekaa leo katika Ofisi ndogo ya Bunge Dar es Salaam.Picha na Prosper Minja - Bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ina maana ni Tundu Lisu peke yake ndio ameenda na laptop? Wengine vp? Wanakiangusha chama chetu bwana...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...