Mzee Josephat Kimori
 Ni miaka miwili sasa tangu ututoke. Ilikuwa ni tarehe kama ya leo 26.10.2009 ulipozimika kama mshumaa kwenye upepo. 

Mkeo mpendwa Christina, sisi wanao Yona, Herman, Ester, Evena, Naomi, Juma na Zenco, wakwe zako Stella, mama Jose, Niwa, baba Sabato na baba K pamoja na wajukuu wako wote tunakukumbuka na tunapungukiwa sana na ule upendo wako kwetu. 

Ingawa kimwili umetutoka lakini kiroho utadumu kuwa katika mioyo yetu na hili pengo kamwe halitazibika. Mungu ailaze pema peponi roho yako milele
 Amin!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...