Mbunge wa Mchinga Mh. Said Mtanda (kulia) akipata maelezo toka kwa injinia wa masafa wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini Bw Fuad Adam kwenye banda la mamlaka hiyo inayoshiriki kikamilifu katika wiki ya Posta Duniani katika viwanja vya Mlimani City jijini Dar es salaam ikiwa ni pmoja na maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara ya Shirika la Posta
Wadau wa Mamlaka ya Mawasiliano tayari kutoa huduma kwa wananchi bandani pao

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Its good to see ma school mate in real World, Big Up Mr Fuad Adam.
    Ya mate Bwiru Boys

    ReplyDelete
  2. nimefurahi sana kukuona fuad adam maana tangu tulikutana Amsterdam naukaondoka atujaongea tena mimi uncle wako wa holland ,big up my uncle

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...