Mpiga Drum wa Bendi ya Extra Bongo, Martin Kibosho (kulia) na Mdogo wake Mpiga Drum wa Bendi ya Twanga Pepeta,James Kibosho wakiweka msalaba kwenye Kaburi la Marehemu Dada yao,Beatrice Kibosho aliyezikwa jana kwenye Makaburi ya Mburahati Jijini Dar es Salaam.
Mpiga Drum wa Bendi ya Extra Bongo, Martin Kibosho akiweka msalaba kwenye Kaburi la Marehemu Dada yake,Beatrice Kibosho aliyezikwa jana kwenye Makaburi ya Mburahati Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...