Mheshimiwa Profesa Jumanne Maghembe, Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika akiwa katika mazungumzo na Bwana Richard Ragan, Muwakilishi Mkazi wa Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kuhusu usalama wa chakula katika Ukanda wa Mashariki, Kati na Pembe ya Afrika. Kulia ni Bwana Mohamed Muya Katibu Mkuu wa Wizara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...