Mkuu wa jukwaa la Wahariri Tanzania Bw.Absalom Kibanda akijitambulisha kwa menejimenti na wafanyakazi wa SSRA wakati wa mkutano wa wahariri wakuu uliofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa SSRA,jijini Dar es Salaam.wa kwanza kushoto kwake mi mkurugenzi mkuu wa SSRA Bi. Irene Isaka na wa pili ni mkuu wa kitengo cha mahusiano na uhamasishaji Bi.Sarah Kibonde Msika
Mkurugenzi mkuu wa SSRA,Bi. Irene Isaka akizungumza na wahariri wakuu wa vyombo vya habari katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa kitengo cha mahusiano na uhamasishaji Bi.Sarah Kibonde Msika (aliesimama) akiwakaribisha wahariri wakuu kwenye mkutano wa SSRA.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...