Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Devis Mwamunyange apokea kikombe cha ushindi pamoja na ngao kutoka kwa Meja Jenerali Nicholas Miti ambaye aliongoza msafara wa jeshi la tanzania nchini msumbiji katika kusheherekea miaka 25 ya kuwa kumbuka mashuja walio pigania uhuru wa msumbiji.Sherehe hizo ziliambatana na michezo hivyo timu ya miguu ya JWTZ ilishinda na kuzawadiwa kikombe.kulia ni mnadhimu wa michezo Jeshini, Luteni Kanali Richard Mwandika.hafla fupi ya kukabidhi kikombe ilifanyika katika Makao Makuu ya Jeshi.jijini Dar es Salaam.Picha Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Generally, I'm proud of the work the men and women out there who protect our country in all ways and all means...

    Personally, I'm proud of the work of my uncle out there... Go uncle!!

    Ignas

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...