Mkuu wa Kitengo cha Habari Clouds Media Group Ltd BI JOYCE SHEBE akimkabidhi kiasi cha fedha taslimu shilingi 800,000/- zilizotolewa na msamalia mwema kwa Mlemavu Frida Kavishe alizoomba kwa ajili ya kulipia ada ya masomo ya Shahada ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Anayeshuhudia ni kaka wa Frida, Omari Mkete.
Mkuu wa Kitengo cha Habari Clouds Media Group Ltd BI JOYCE SHEBE akizungumza baada ya kukabidhi kiasi cha fedha taslimu shilingi 800,000/ zilizotolewa na msamalia mwema kwa Mlemavu Frida Kavishe (Kushoto) kwa ajili ya kulipia ada ya masomo ya Shahada ya Uchumi katika Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Katikati ni kaka wa Frida, Omari Mkete.
Baadhi ya watendaji wa chumba cha habari Clouds FM/TV kutoka kushoto Shaffih Dauda, Sophia Kessy, Jackie Kombe, Joyce Shebe, Jerome Risasi na Juma Katunda wakiwa kwenye picha ya pamoja na Frida Kavishe na Omari Mkete mara baada ya makabidhiano ya fedha hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hongera kw aliyemsaidia....kama atahitaji tena msaada hapo baadaye tuwasiliane "medaned@yahoo.com"...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...