MWENYEKITI WA ASET INAYOMILIKI BENDI YA TWANGA PEPETA, MR BARAKA MSIILWA, AMEFIWA NA MKWEWE, MZEE ALLY JUMA LHEY,  BABA MZAZI WA MKEWE, MRS TUNU LHEY BARAKA,  ALIYEKO LONDON UK. 



MSIBA HUU UMETOKEA ALFAJIRI YA LEO JUMANNE 18/11/2011 NYUMBANI KWA MAREHEMU UJIJI KIGOMA.

MAZISHI YALITEGEMEWA KUFANYIKA JIONI HII BAADA YA SWALA YA ALASIRI NYUMBANI KWA MAREHEMU MTAA WA LIVINGSTONE, UJIJI, KIGOMA.

HABARI  ZIWAFIKIE WATOTO NA WAJUKUU WOTE WA MAREHEMU  WAISHIO LONDON, LEICESTER, OMAN, BURUNDI,  DAR ES SALAAM PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI WOTE POPOTE WALIPO. 

INNA LILAH WA INNA ILLAH RAJUUN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. poleni sana kina Baraka

    ReplyDelete
  2. Mzee wetu mzee Lhey (Mzee Super). Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

    ReplyDelete
  3. Inna Lillahi wa Inna Illahi Rajuluun. Poleni sana wafiwa: Tunu, Abbabi, Mwicha, Lhey,Yao na wengineo wote. Yote na kazi ya M/Mungu na sote tunaelekea huko.

    ReplyDelete
  4. Poleni sana ndugu,familia yote ya Lhey,popote mlipo ni msiba mzito huu Ujiji kwetu,Inna Lillahi wa Inna Illahi Rajiun.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...