Naibu Waziri wa Afya wa Zanzibar, Dr. Sira Ubwa Mamboya (mwenye kitenge) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe. Alex C. Massinda (mwenye shati jeupe) na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini humo kwenye picha ya pamoja.kutoka kushoto ni Bw. Paul Makelele, Bw Richard Masalu, Mhe. Balozi Alex C. Massinda, Mhe. Dkt. Sira Ubwa Mamboya, Bw. Richard Tibandebage na Bw. Joseph Sokoine.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...