Rais Jakaya Kikwete akiwapungia wasanii wa kikundi cha ngoma cha Mtapenda cha Majimoto wilayani Mpanda kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kabla ya kuondoka kurejea Dar es salaam October 18, 2011. Kulia ni Waziri Mkuu,Mizengo Pinda. 
Rais Kikwete akiwaaga wananchi muda mfupi kabla ya kupanda ndege na kuondokaRais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia), wakiangalia ngoma ya asili wakati wa hafla ya kumuaga leo asubuhi kwenye Uwanja wa Ndege wa MpandaRais Kikwete akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Injinia Manyanya (kushoto) pamoja na Mkuu mpya wa Mkoa wa Kigoma, Issa MachibyaRais Kikwete akiagana na baadhi ya maofisa wa Serikali
JK akiwapungia mkono kuwaaga wananchi alipokuwa akipanda ndege tayari kurudi Dar es Salaam leo asubuhi. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. JK sasa nimeelewa kwanini ulimpeleka huyu mpiganaji Stella Manyanya Rukwa. Hapo lazima kitaeleweka, kazi itafanyika na wawekezaji wajipange tu. Tunataka watu kama hao. Dada Stella, kaza buti safari ndo inaanza.

    Leanji Kyangwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...