TUSHIKAMANE PAMOJA FOUNDATION wameadhimisha siku ya WAZEE DUNIANI kwa kuwatembelea wazee na kuwajuulia hali. Walibahatika pia kupata madaktari wanne kutoka Muhimbili waliojitolea katika zoezi hili muhimu.
TUSHIKAMANE PAMOJA FOUNDATION inawashukuru madaktari Dr Magesa, Dr Mboneka, Dr Evelyn Mkuchika, na Dr Omari Mahiza. Wameshinda nao kutwa bila lunch break. Pia wameadhimisha siku ya wazee duniani kwa kutembelea Kijiji cha Wasiojiweza Msimbazi Centre






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...