Muwakilishi wa shirika la mfuko wa idadi ya watu la Umoja wa Mataifa (UNFPA)-Tanzania,Dr . Julitta Onabanjo akiwa amembeba mtoto aliyezaliwa usiku wa kuamkia leo,kwenye hospitali ya Wilaya ya Temeke, jijini Dar Es Salaam,ambapo Dunia ilikuwa inatimiza idadi ya watu Billioni 7. Kulia ni Mama wa Mtoto huyo Bi Kulwa Juma. Picha Zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
UNFPA lasherehekea kilele cha dunia kufikisha watu bilioni 7,yatoa msaada wa vifaa mbalimbali hospitali ya Temeke jijini dar leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...