Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia katika Sherehe za miaka 50 ya Shirika la Misaada la Kimataifa la Marekani (USAID) zilizofanyika kwenye Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) mjini Morogoro Oktoka 27,2011.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Misaada la Kimataifa la Marekani (USAID)) nchini, Bw. Robert Cunnane(kushoto) katika sherehe za mika 50 tangu kuanzishwa kwa Shirika hilo nchini zilizofanyika kwenye  Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) mjini Morogoro Oktoba 27,2011.  Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya SUA, AlNoor Kassum.(Picha na Ofisi ya Wairi Mkuu.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Miaka yetu tulikula buluga iliyoletwa na watu hawa. Kama sikosei ilikuwa inaitwa Quiker Oats. Duh, kumbe na mie nishazeeka...
    Blackmpingo (soon in Dar)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...