Vijana wakazi wa mji wa Kibaha mkoani Pwani,wakishiriki katika kuchimba makaburi kumi na mbili yatakayotumika kuzika marehemu walio fariki kwa kuteketea kwa moto katika ajali ya basi la Deluxe iliyotokea juzi huko Kibaha.makaburi hayo yapo katika eneo ambalo walizikwa watu waliofariki katika ajali ya basi la AIR MSAE miaka kadhaa iliyopita.Picha na Chris Mfinanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...