Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stellah Manyanya, akipokea mfano wa Tshirt 2000 zenye thmani ya shillingi 28.4m/- kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii NMB Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada wa benki hiyo kwa vikundi vya wana Rukwa na Katavi vitavoshiriki katika tamaasha la siku ya utamaduni wa mtanzania lililoandaliwa na wanarukwa na katavi. Tamasha hilo la siku tatu litafanyika Kijiji cha Makumbusho kilichopo Jijini DSM kuanzia kesho.
Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii NMB Shy-Rose Bhanji, Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella Manyanya na sehemu ya wana Rukwa na Katavi wakishuhudia msaada uliotolewa na NMB.
Hii ni Safi kwa makampuni kutoa misaada mbalimbali kwa wanajamii na kujitangaza pia kwa biashara zao. Tuwapongeze NMB.
ReplyDeleteNa makampuni mengine pia waige mifano kama hiyo.